Menu ›
Burudani
Thu, 24 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Rapa kutoka Kenya Khaligraph Jones kuwachana marapa wa Bongo na kuwataka waingie studio kama kweli wanataka Battle nae.
Kutoka kwa Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini Tanzania Master Jay amefunguka haya juu ya sakata la Khaligraph Jones na Wabongo
"Yaani tunampa jamaa free promo worth millions of Shillings wakati alikua hata hajulikani hapa Bongo kiviiiiiile. Smart move Brian, akili nyingi. Sema unachokitafuta utakipata. #LyricalBeatDown"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live