Msanii wa muziki Maryann Queen ambaye alikuwa mpenzi wa TID Mnyama, amedai mpenzi wake huyo alikuwa anamchukulia kama mtoto wake kabla ya kuachana. Muimbaji huyo raia wa Kenya ambaye anajipanga kuachia video ya wimbo wake mpya Chakacha wiki hii amedai kwa sasa hayupo tena kwenye mahusiano ya mapenzi na TID kutokana na kusambaa picha zake akiwa na Calilsah.
Msanii wa muziki Maryann Queen ambaye alikuwa mpenzi wa TID Mnyama, amedai mpenzi wake huyo alikuwa anamchukulia kama mtoto wake kabla ya kuachana. Muimbaji huyo raia wa Kenya ambaye anajipanga kuachia video ya wimbo wake mpya Chakacha wiki hii amedai kwa sasa hayupo tena kwenye mahusiano ya mapenzi na TID kutokana na kusambaa picha zake akiwa na Calilsah.