Menu ›
Burudani
Sun, 22 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Marioo "Toto Bad" amejibu kuwa yupo tayari kutoa mahari ya Tsh Milioni 100 kwa mpenzi wake Paulah ambaye ni binti wa staa wa filamu Kajala na Producer mkongwe wa muziki nchini P Funk Majani.
Mwanamuziki Marioo "Toto Bad" amejibu kuwa yupo tayari kutoa mahari ya Tsh Milioni 100 kwa mpenzi wake Paulah ambaye ni binti wa staa wa filamu Kajala na Producer mkongwe wa muziki nchini P Funk Majani. Marioo amejibu hivyo kupitia clip video hii aliyofanya Interview kupitia East Africa TV na video kamili bonyeza hapo chini kutazama.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live