Menu ›
Burudani
Thu, 11 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva, Marioo amesema kwamba katika mwaka huu ameshirikishwa kwenye ngoma nyingi sana na wasanii na bado zipo kama 5 ambazo zinatakiwa kutoka kabla mwaka huu haujaisha.
Hivyo Marioo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa sasa inatosha kushirikishwa mpaka 2024 panapo majaliwa.
"Kwenye huu mwaka nimeshirikishwa ngoma nyingi za watu na zipo kama 5 ambazo zinatakiwa kutoka before the year ends Its safe to say its enough till 2024 panapo majaliwa ila izo 5,” aliandika Marioo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live