Menu ›
Burudani
Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa kizazi kipya Marioo ambaye ni mpenzi wa Paula amekiri kuwa ukiwa kwenye mahusiano na watoto waliozakiwa 2000 ni shida sana.
Kufuatia video hiyo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii watu wamekuwa wakuihusisha na umri wa Paula ambaye amezaliwa 15 July 2002.
Hata hivyo Marioo yeye hajamtaja kama ni Paula au la.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live