Menu ›
Burudani
Mon, 15 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mapacha walioungana wenye umri mkubwa zaidi duniani, wamefariki dunia wakiwa na miaka 62.
Pamoja na kuzaliwa wakiwa wameungana, Lori na George Schappell walifanikiwa katika kazi zao zilizokuwa tofauti pamoja na mambo mengine mengi.
Mapacha hao waliozaliwa Pennsylvania nchini Marekani walikuwa wameungana fuvu, sehemu ya ubongo na mishipa ya damu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live