Menu ›
Burudani
Wed, 16 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Haji Manara aliitangazia Umma kuwa anakwenda Marekani na Jan Agosti 15 aliposti Picha akiwa nchini Marekani katika Jimbo la North Carolina.
Haji Manara aliitangazia Umma kuwa anakwenda Marekani na Jan Agosti 15 aliposti Picha akiwa nchini Marekani katika Jimbo la North Carolina. Sasa Mange Kimambi ameibuka na kumuuliza mbona amefikia Marekani ya vijijini? Mange amemuita Haji wakutane katika Jimbo la Los Angeles ambako ndiko wanakopatikana Mastaa mbalimbali Duniani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live