Hahahahahah! Make hapa kwanza ncheke bwana bwana mtu kazi kumbe sio ngumu tuu hadi kwenye kuimba yumo alooooh!, basi bwana bondia huyo ametoa mpya na kusema kuwa anamzimikia mrembo Hamisa Mobeto.
Hahahahahah! Make hapa kwanza ncheke bwana bwana mtu kazi kumbe sio ngumu tuu hadi kwenye kuimba yumo alooooh!, basi bwana bondia huyo ametoa mpya na kusema kuwa anamzimikia mrembo Hamisa Mobeto. Mandonga ameyasema hayo kupitia mahojiano yake na moja ya chombo kimoja cha habari alivyo ulizwa kati ya Uwoya na Mobeto nani anamzimikia Zaidi na kufunguka kuwa “oya sema nini wanangu huyu Hamisa Mobeto sio powa yani huyu Mobeto nameuelewa sana yani” amesema Karim Mandonga