Menu ›
Burudani
Wed, 5 Oct 2022
Chanzo: Eatv
Rais wa kitaa Nay Wa Mitego ameeleza kuwa mama yake mzazi, watoto wake na familia yake kwa ujumla inatamani aachane na mziki na kufanya shughuli nyingine kutokana na changamoto anazopitia.
Rais wa kitaa Nay Wa Mitego ameeleza kuwa mama yake mzazi, watoto wake na familia yake kwa ujumla inatamani aachane na mziki na kufanya shughuli nyingine kutokana na changamoto anazopitia. Nay Wa Mitego ameshea hilo kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio ambayo inaruka kila siku ya J3 - Ijumaa saa 7:00 mchana mpaka 10:00 jioni.
Chanzo: Eatv