Menu ›
Burudani
Sat, 16 Dec 2017
Chanzo: bongo5.com
Mama Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema siku ya leo baada ya msanii wa filamu kutoka nchini Nigeria, Ramsey Nouh kutua nchini na kupata nafasi ya kutembelea kaburi la mwanae huyo aliyefariki mwaka 2012 ni jambo ambalo hakulitegemea katika maisha yake.
Mama Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema siku ya leo baada ya msanii wa filamu kutoka nchini Nigeria, Ramsey Nouh kutua nchini na kupata nafasi ya kutembelea kaburi la mwanae huyo aliyefariki mwaka 2012 ni jambo ambalo hakulitegemea katika maisha yake.
Chanzo: bongo5.com