Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mama Kunumba: Nimeamini kweli nabii hakubaliki kwao (Video)

Sat, 16 Dec 2017 Chanzo: bongo5.com

Mama Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema siku ya leo baada ya msanii wa filamu kutoka nchini Nigeria, Ramsey Nouh kutua nchini na kupata nafasi ya kutembelea kaburi la mwanae huyo aliyefariki mwaka 2012 ni jambo ambalo hakulitegemea katika maisha yake.

Mama Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema siku ya leo baada ya msanii wa filamu kutoka nchini Nigeria, Ramsey Nouh kutua nchini na kupata nafasi ya kutembelea kaburi la mwanae huyo aliyefariki mwaka 2012 ni jambo ambalo hakulitegemea katika maisha yake.

Chanzo: bongo5.com