Menu ›
Burudani
Thu, 19 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Malkia Karen; ni msanii wa Bongo Fleva ambaye huwenda akaenda kufanya sajari kama baadhi ya mastaa wengine walivyofanya ili kupunguza tumbo baada ya kujifungua.
Malkia Karen ameweka wazi kwamba vitambi vinasumbua sana wadada hivyo hata yeye akipata pesa zake ataenda kukitoa.
Pia ameongeza kuwa siyo mbaya kwa mtu mwenye uwezo wake kurekebisha kitu kwenye mwili wake akafanya hivyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live