Menu ›
Burudani
Sat, 17 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki Bongo, Malaika yupo mbioni kurudi upya katika muziki.
Muimbaji huyo aliyetamba na ngoma kama Rarua na Zogo amekuwa kimya kwa muda mrefu ila kwa sasa anatarajia kurejea kwa kuachia wimbo mpya uiitwao Haachi.
Chanzo: bongo5.com