Menu ›
Burudani
Thu, 1 Oct 2020
Chanzo: millardayo.com
Droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ndio hii hapa, imepangwa leo naomba kufahamu Kundi gani gumu mtu wangu?
Droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ndio hii hapa, imepangwa leo naomba kufahamu Kundi gani gumu mtu wangu? Mahasimu wakubwa Lionel Messi wa FC Barcelona na Cristiano Ronaldo wa Juventus safari hii wamepangwa Kundi moja katika michuano ya UEFA Champions League.
Chanzo: millardayo.com