Menu ›
Burudani
Mon, 26 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Kila kukicha umbo la mwanamitindo na video vixen kutoka Marekani, Black Chyna linazidi kuzua utata kutokana na muonekana wake.
Mrembo huyo ambaye aliwahi kuwa na mahusiano na rapper Tyga na kaka wa Kardashian Rob, amezidi kuandamwa na mapaparazi ambapo wamefanikiwa kupata picha yake akiwa katika vazi la ufukweni huku makalio yake yakionekana kama sio halisi (Fake)
!
Mnamo mwaka jana mrembo huyo pia alijikuta katika aibu baada ya makalio yake hayo kuonekana yanaporomoka wakati wa ukaguzi wa kiwanda cha ndege.
Chanzo: bongo5.com