Menu ›
Burudani
Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Penzi ni kikohozi na kulificha huwezi. Hivyo ndivyo inavyotokea kwenye penzi la mastaa Harmonize na Kajala Masanja.
Unaambiwa sasa hivi Harmonize anamvalisha hadi viatu Kajala kuonesha kwamba anamzia kiasi gani.
Kupitia kipande cha video ambacho amekiachia leo kupitia Insta Story, Harmonize ameonekana akiwa nyumbani kwake na Kajala akiwa amekaa kwenye kochi.
Harmonize akainama, akaanza kumvalisha raba nyeupe Kajala kisha akaweka kipande kingine cha video ya Kajala akiwa kwenye gari tayari kwa mtoko.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live