Menu ›
Burudani
Mon, 26 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva Madee ameghairi kuacha muziki kama alivyotangaza siku kadhaa zilizopita ambapo sasa ameachia wimbo mpya unaitwa Sitaki Muziki.
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva Madee ameghairi kuacha muziki kama alivyotangaza siku kadhaa zilizopita ambapo sasa ameachia wimbo mpya unaitwa Sitaki Muziki. Madee alitangaza kuacha muziki huku akitaka kujikita zaidi kwenye malezi ya Familia kama Baba na pia biashara zake lakini wadau mbalimbali wakiwemo viongozi na wasanii wenzake wakimsihi atengue uamuzi huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live