Menu ›
Burudani
Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jaji wa shindano la Bongo Star Search (BSS), Madam Rita amesema baada ya kuweka wazi kuwa yupo single, maombi ya wanaume kwake yamekuwa ni mengi.
Jaji wa shindano la Bongo Star Search (BSS), Madam Rita amesema baada ya kuweka wazi kuwa yupo single, maombi ya wanaume kwake yamekuwa ni mengi. "Wananchi mnaombwa utulivu zoezi la upembuzi yakinifu likiendelea. Maombi yamekuwa mengi lakini bila shaka mrejesho kutoka kamati inayoshughulikia mchakato utafikia tamati katika muda muafaka," ameandika Madam Rita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live