Menu ›
Burudani
Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hii ndiyo orodha ya watendaji wakuu kwenye makampuni yanayohusika na teknolojia wanaotumia pesa nyingi zaidi kwenye ulinzi binafsi.
a) Elon Musk mtendaji mkuu ''X'' hutumia zaidi ya Tsh Bilioni 25 kwa ajili ya ulinzi wake binafsi.
b) Mark Zuckerberg mtendaji mkuu ''META'' hutumia zaidi ya Tsh Bilioni 35 kwa ajili ya ulinzi binafsi.
c) Sundar Pichai mtendaji mkuu ''GOOGLE'' hutumia zaidi ya Tsh Bilioni 15 kwa ajili ya ulinzi binafsi.
d) Tim Cook mtendaji mkuu ''APPLE INC'' hutumia zaidi ya Tsh Bilioni 1.4 kwa ajili ya ulinzi binafsi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live