Menu ›
Burudani
Mon, 5 Feb 2018
Chanzo: millardayo.com
Leo February 4, 2018 kundi la WCB limefanya utambulisho mwingine wa pili wa msanii Mbosso katika uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke DSM ambapo wasanii wote wa WCB wali-perform na moja ya wasanii hao ni KONDE BOY Harmonize ambaye alitoa burudani katika viwanja hivyo.
BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA
DAKIKA 3 ZA BALAAH LA DIAMOND MWEMBE YANGA, BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA
Chanzo: millardayo.com