Menu ›
Burudani
Thu, 29 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo Lyyn ameweka bayana kwamba, aliwahi kuwa kwenye mahusiano serious na Diamond Platnumz hadi kufikia hatua ya kumposa.
Lyyn amesema, waliachana baada ya staa huyo kumsaliti kwani yeye hataki kusalitiwa.
“Tulikaa kwenye mahusiano kwma mwaka na nusu hivi. Wakati huo niko naye Diamond nilikuwa sijulikani. Alishakuja nyumbani kutoa posa lakini baadaye tuliachana aliponisaliti,” alisema Lyyn alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live