Menu ›
Burudani
Thu, 22 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa mpiga picha wa Diamond, Lukamba amesema, watu walikuwa wakisema anamroga staa huyo wa Bongo Fleva kwa sababu tu ya kuwa anasafiri naye.
Lukamba alisema, kutokana na kazi yake ya kupiga picha, alikuwa akisafiri sana na Diamond ndipo watu wakaanza kuzusha habari kuwa anamroga Diamond.
“Mimi nilikuwa nasafiri kwenda kufanya kazi sasa wao walikuwa wanaumia ndio wakazusha hizo habari za kwamba namroga,” alisema Lukamba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live