Menu ›
Burudani
Wed, 9 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapper kutoka nchini Marekani Lil Wayne amedai kuwa anaamini yeye ndiye sababu kubwa ya watu wengi kuwa na michoro ya tattoo kwenye nyuso zao, ameeleza hayo kupitia moja ya mahojiano nchi humo.
Rapper kutoka nchini Marekani Lil Wayne amedai kuwa anaamini yeye ndiye sababu kubwa ya watu wengi kuwa na michoro ya tattoo kwenye nyuso zao, ameeleza hayo kupitia moja ya mahojiano nchi humo. Lil Wayne amekuwa akichora tatto ambazo kila mchoro una maana yake mfano mchoro wa herufi “C” juu ya macho yake inawakilisha herufi ya ya jina la Mama yake “Jacida Carter.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live