Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Lady Jaydee aeleza kwanini hatoi ngoma ‘back to back’

1068 20478949 1539184049457904 3110221612738150400 N TZW

Thu, 4 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Mwanamuziki Lady Jaydee amefunguka ni kwanini hatoi ngoma kila mara.

Muimbaji huyo amesema si utaratibu ambao ameuzoea katika muziki wake na wale wanaofanya hivyo si vibaya pengine kuna faida wanayoipata huko.

“Mimi huwa sitoi ngoma hivyo, huwa sitoi ngoma kila siku, kwa hiyo kwa wanatoa ngoma kila siku wanazo sababu zao pia labda wenyewe wanaweza wakaelezea ni kwanini pengine inaweza ikawa na manufaa kwao ndio maana wanafanya vile,” amesema.

Lady Jaydee ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Baby’, wimbo huo umepishana takribani miezi mitatu na I Miss You.

Chanzo: bongo5.com