Menu ›
Burudani
Sun, 11 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Ikiwa leo ni siku ya Wanawake Dunia watu mbali mbali wamekuwa na la kuzungumza katika siku hiyo muhimu.
Wasanii wa muziki, waigizaji na watangazaji wa kike wametumia mitandao ya kijamii kuizungumzia siku hiyo. Hivi ndivyo walivyoandika Lady Jaydee, Salama, Batuli na Mimi Mars;
mimi_mvrs11HAPPY WOMENS DAY TO ALL THE FEMALES IN THE WORLD! God Bless Us and cheers to our day
Chanzo: bongo5.com