Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) mwanadada mkongwe kwenye kiwamda cha muziki @jidejaydee ameandika ujumbe kuhusu watu waliotafsiri post yake ya jana vibaya kuhusu kutojiingiza kwenye janga la Unga (madawa ya kulevya)
Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) mwanadada mkongwe kwenye kiwamda cha muziki @jidejaydee ameandika ujumbe kuhusu watu waliotafsiri post yake ya jana vibaya kuhusu kutojiingiza kwenye janga la Unga (madawa ya kulevya) “Najiepusha kujibu wagonjwa. Lolote likitokea nitalaumiwa nimeua watu kwa depression. Naona na mabwana zao wameingilia kunichangia. Jamani mi nilimshukuru Mungu wangu ila sikujua hairuhusiwi hadharani. Basi next time nitamshukuru kisirisiri. #Hakuna” ~ Jide