Menu ›
Burudani
Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kupitia mtandao wake wa X (Twitter) malkia wa muziki wa Bongo Fleva Lady Jay Dee amemshukuru Mungu kuweza kuyakabili mapito yake ya maisha aliyoyapitia bila kutumia madawa ya kulevya 'Unga'.
Ameandika:
"Nashukuru Mungu alinipa ujasiri wa kukabili mapito yangu bila kuingia kwenye biashara za kula Unga na kuanza kumlaumu kila mtu. Lord i thank you"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live