Dunia ina mambo! Mashabiki wameibuka na kudai kuwa m Kylie Jenner ndio mbeba mimba ya tatu ya Kim Kardashian.
Hii ni baada ya mashabiki kudai kuwa walimuona Kylie hospitali wiki moj iliyopita alielekea Hospitali huku tumbo lake likionekana kuwa kubwa kama mtu anayetarajia kujifungua. Na hapo jana wanapata habari kuwa Kim na Kanye wamefanikiwa kupata mtoto watatu.
Kupitia mtandao wa Twitter hivi ndivyo mashabiki walivyoonyesha hisia zao:
Mwaka 2017 Kylie alidaiwa kuwa na mimba ya rapper Travis Scott, baada ya kuachana na rapper Tyga ambaye alikuwa mpezi wake wa muda mrefu kidogo.