Msanii wa Singeli Dulla Makabila, amezungumza na wanaoingilia majibizano yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii yanayowahusu watayarishaji wa muziki Tanzania, amewataka kuwa makini sana kwa sababu Producers wa Tanzania wanapendana na kushirikiana kwa vitu vingi.
Msanii wa Singeli Dulla Makabila, amezungumza na wanaoingilia majibizano yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii yanayowahusu watayarishaji wa muziki Tanzania, amewataka kuwa makini sana kwa sababu Producers wa Tanzania wanapendana na kushirikiana kwa vitu vingi. Kupitia insta story yake @dullamakabila ameufananisha muungano wa madereva wa bodaboda Tanzania ni sawa watayarishaji wa muziki wa Tanzania.