Msanii mchanga ambaye ni shabiki kindaki ndaki wa rapa Mr Blue, Uncle B amefunguka kuzungumzia namna alivyosimamishwa shule kutokana na kuonyesha wazi kwamba anampenda rapa, Mr Blue. Rapa huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo, ‘Sitaki Unitag’ambao amemshirikisha Mr Blue na Dullayo, amesema kupata nafasi ya kufanya kolabo na rapa huyo ni kitu kikubwa sana kwenye maisha yake.
Msanii mchanga ambaye ni shabiki kindaki ndaki wa rapa Mr Blue, Uncle B amefunguka kuzungumzia namna alivyosimamishwa shule kutokana na kuonyesha wazi kwamba anampenda rapa, Mr Blue. Rapa huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo, ‘Sitaki Unitag’ambao amemshirikisha Mr Blue na Dullayo, amesema kupata nafasi ya kufanya kolabo na rapa huyo ni kitu kikubwa sana kwenye maisha yake.