Menu ›
Burudani
Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa kipindi cha umbea, Juma Lokole ameeleza kwamba anajua vizuri mrembo Zari The Boss Lady anachiti na nani na kuwa yule kijana aliyenaye ni kama pambo tu sababu hana pesa.
Mtangazaji wa kipindi cha umbea, Juma Lokole ameeleza kwamba anajua vizuri mrembo Zari The Boss Lady anachiti na nani na kuwa yule kijana aliyenaye ni kama pambo tu sababu hana pesa. Lokole amesema hayo kwenye kipindi cha Mashamsham kinachoruka Live kutoka studio za Wasafi FM baada ya Zari kuchafua hali ya hewa kwa post yake akiwashauri mabinti kuwa wakitaka kuchiti basi wachiti na wanaume wenye pesa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live