Menu ›
Burudani
Mon, 9 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Siku kama ya leo Miaka 16 iliyopita, Steve Jobs na Apple walizindua simu ya kwanza aina ya iPhone.
Siku kama ya leo Miaka 16 iliyopita, Steve Jobs na Apple walizindua simu ya kwanza aina ya iPhone. Hiyo ilikuwa ni January 9, 2007 na tangu wakati huo matoleo mbalimbali ambapo mpaka sasa ni Iphone 14 Pro Max.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live