Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kumbe Rayvanny Alishindwa Kumuhudumia Fahyma

Rayvanny Rayvanny na Fahyma

Fri, 17 Dec 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Fahyvanny ni Mwanamke ambaye sio wa kumchukulia poa, hii pisi ni ya Gharama sana, pisi inapenda kuvaa, pisi inapenda kupiga picha, pisi inapenda kuishi kama Kim Kardarshian, Kylie Jenner. Pisi inapenda kuishi life la kistar. Pisi inanywele za gharama, viatu vya gharama, nguo ndio usiseme.

Kiufupi, Kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Fahyvanny inabidi uwe na mkwanja wa kutosha. Inasemekana moja ya sababu kubwa iliyomfanya Rayvanny kutokudumu na Fahima ni suala la huduma, pisi inataka mkwanja mrefu, wakati huo Rayvanny hana au Anamishe Nyingine pia za kufanya.

Mbali na yote haya inaonekana kabisa hawa watu bado kama wanatamaniana vile, kama vipi wapashe viporo tu, Vanny Boi anafeli wapi, aisee Fahima ni pisi kali kuliko hata Paula, sema tu ndio hivo kanapenda mlio wa ATM ila naamini hivi sasa Vanny Boi anamkwanja kuliko Zamani, hivyo Apashe kiporo tu.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live