Menu ›
Burudani
Tue, 21 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Supastaa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, thamani ya Kiatu alichokivaa akiwa Paris Ufaransa " Adidas Yeezy Nsltd Boot" kinauzwa Dola 1327- 1500 zaidi ya Tsh milioni 3.
Kiatu hicho ni toleo la Mwaka 2021,Ambapo mastaa mbalimbali Ulimwenguni wameonekana kukivaa kama Justin Bieber, Offset na wengine wengi.
Je, Kiatu cha gharama ulichowahi kukivaa kinauzwa bei gani?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live