Lifestyle

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

SIL

Korea Kusini kusitisha ulaji wa mbwa

IMG 20210928 WA0029 660x400.jpeg Korea Kusini kusitisha ulaji wa mbwa

Tue, 28 Sep 2021 Chanzo: millardayo.com

Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in anaangalia ikiwa sasa ni muda sahihi wa kupiga marufuku ulaji wa mbwa nchini humo.

Rais Moon ambaye anapenda na anafuga mbwa, amesema anafikiria kupiga marufuku ulaji wa mbwa ikiwa ni moja ya njia mpya za kulinda wanyama waliotelekezwa.

Inasemekana kwamba ulaji wa nyama ya mbwa umeshuka ingawa bado takribani mbwa milioni moja wanachinjwa kwa mwaka.

Nchi ya Korea Kusini tayari imepiga marufuku uchinjani wa kikatili wa mbwa na paka ilaulaji wa nyama hizo haukuwahi kupigwa marufuku.

Chanzo: millardayo.com