Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Koffi, Nandy wapanga kuingia studio

98230 Pic+kofiiiii Koffi, Nandy wapanga kuingia studio

Fri, 6 Mar 2020 Chanzo: mwananchi.co.tz

Dar es Salaam. Mwanamuziki kutoka Jamuhuri ya Demokrasia ya Kongo, Koffie Olomide ameeleza mpango wake wa kuingia studio kurekodi wimbo na msanii Nandy. Koffie ameyasema hayo leo Ijumaa Machi 6, 2020 katika mahojiano na kituo cha redio Clouds, yaliyolenga kuzungumzia onyesho lake litakalofanyika kesho ukumbi wa Mlimani City. Katika mahojiano hayo, Koffie pamoja na mambo mengine amtaja mwanamuziki ambaye anampenda nchini Tanzania  kuwa ni Nandy huku akibainisha  wimbo wake  unaomkosha ni 'Kivuruge'. "Nampenda sana Nandy na wimbo wake wa Kivuruge ambapo kila nikiusikiliza nasikia raha, kama mnayo niwekeeni," ameagiza Koffie na kupigia wimbo huo ulimfanya kucheza akiwa kwenye kiti. Pia amebainisha kuwa licha  ya kumfatilia msanii huyo anayetesa na wimbo wa "'Na nusu' kwa sasa, kwa mara ya kwanza wamekutana naye   leo na tayari wameongea mipango ya kufanya naye kazi ambapo karibuni wataingia studio. studio .

Dar es Salaam. Mwanamuziki kutoka Jamuhuri ya Demokrasia ya Kongo, Koffie Olomide ameeleza mpango wake wa kuingia studio kurekodi wimbo na msanii Nandy. Koffie ameyasema hayo leo Ijumaa Machi 6, 2020 katika mahojiano na kituo cha redio Clouds, yaliyolenga kuzungumzia onyesho lake litakalofanyika kesho ukumbi wa Mlimani City. Katika mahojiano hayo, Koffie pamoja na mambo mengine amtaja mwanamuziki ambaye anampenda nchini Tanzania  kuwa ni Nandy huku akibainisha  wimbo wake  unaomkosha ni 'Kivuruge'. "Nampenda sana Nandy na wimbo wake wa Kivuruge ambapo kila nikiusikiliza nasikia raha, kama mnayo niwekeeni," ameagiza Koffie na kupigia wimbo huo ulimfanya kucheza akiwa kwenye kiti. Pia amebainisha kuwa licha  ya kumfatilia msanii huyo anayetesa na wimbo wa "'Na nusu' kwa sasa, kwa mara ya kwanza wamekutana naye   leo na tayari wameongea mipango ya kufanya naye kazi ambapo karibuni wataingia studio. studio .

Chanzo: mwananchi.co.tz