Menu ›
Burudani
Wed, 20 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Kizz Daniel ameamua kuwatolea uvivu wanaosema mkewe mbaya.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram upande wa ‘komenti’ Kizz amekuwa akiwajibu mashabiki hao wanaojadili muonekano wa mkewe Oliwatobiloba Daniel.
Maneno hayo yamekuja baada ya KizzDaniel kumposti mkewe kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii na kutangaza kuwa ameoa miaka minne aliyopita na hivyo hawezi kumuacha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live