Menu ›
Burudani
Tue, 31 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ umeripoti taarifa ya kuuzwa kwa kitambulisho cha garezani cha marehemu Tupac Shakur pamoja na picha zake zilizokuwa zimehifadhiwa kwenye kitabu wakati akiwa gerezani.
Kitambulisho chake hicho cha gerezani na picha zake zimepatikana wakati akiwa gereza la Clinton Correctional Facility jijini New York mwaka 1995 na vitapigwa bei ya USD 75,000 sawa na Tsh Milioni 187.
Kibongobongo pia wapo mastaa ambao washawahi kukaa gerezani kama TID, Babalevo, Kajala, Elizabeth Michael 'Lulu' na Jacqline Cliff.
Yupi ambaye unaweza kununua picha yake akiwa gerezani. Mtaje!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live