Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kiss Daniel kwa sasa ni kibeniten cha Chidinma

4636 Dadaadada TZW

Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Moja ya stori kutoka kwenye industry ya burudani nchini Nigeria ni kuhusu Kiss Daniel na Chidinma.



Waimbaji hao kwa sasa wanaripotiwa kuwa katika mahusiano ya kimapenzi, kupitia Instagram Story, Kiss Daniel ameweka picha ya mrembo huyo na emoja za Love.



Muimbaji Chidinma ambaye hivi karibuni ameachia nyimbo mbili amemzidi umri Kiss Daniel kwa miaka mitatu. Chidinma kazaliwa mwaka 1991 wakati Kiss Daniel amezaliwa 1994.

Chanzo: bongo5.com