Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kisa ushauri wa ndoa, Ciara apokea kichambo

1739 Screen Shot 2018 01 22 At 16.10.28.png TZW

Mon, 22 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki kutoka Marekani, Ciara amejikuta akipokea kichambo katika  mtandao wa kijamii wa Twitter baada ya kuweka video na kuwataka wanawake wabadilike iliwaweze kuolewa.



Mrembo huyo aliyekuwa na mahusiano na rapper Future  na kubahatika kupata naye mtoto mmoja aitwaye Zahir Wilburn, kabla ya kuolewa  na Russel Wilson  miaka miwili iliyopita  ameweka video hiyo ambayo inawataka wanawake wabadilike iliweze kuolewa.

Hata hivyo mrembo huyo alijikuta akirushiwa maneno yanayomtaka siongee hivyo kwani hata yeye alikuwa katika hali mbaya kabla ya kuolewa.



Chanzo: bongo5.com