Msanii wa muziki kutoka Marekani, Ciara amejikuta akipokea kichambo katika mtandao wa kijamii wa Twitter baada ya kuweka video na kuwataka wanawake wabadilike iliwaweze kuolewa.
Mrembo huyo aliyekuwa na mahusiano na rapper Future na kubahatika kupata naye mtoto mmoja aitwaye Zahir Wilburn, kabla ya kuolewa na Russel Wilson miaka miwili iliyopita ameweka video hiyo ambayo inawataka wanawake wabadilike iliweze kuolewa.
Hata hivyo mrembo huyo alijikuta akirushiwa maneno yanayomtaka siongee hivyo kwani hata yeye alikuwa katika hali mbaya kabla ya kuolewa.
#LevelUp pic.twitter.com/rmS0WMOV1B
— Ciara (@ciara) January 20, 2018
#LevelUp pic.twitter.com/rmS0WMOV1B
— Ciara (@ciara) January 20, 2018
#LevelUp pic.twitter.com/rmS0WMOV1B
— Ciara (@ciara) January 20, 2018