Menu ›
Burudani
Mon, 17 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki nchini Tanzania,amegomea kutoa orodha ya ngoma zilizopo kwenye albamu yake mpya aliyoahidi kuiachia mwezi huu, kisa Yanga imepoteza mchezo wake usiku wa jana nchini Sudan dhidi ya Al Hilal.
Staa wa Muziki nchini Tanzania,amegomea kutoa orodha ya ngoma zilizopo kwenye albamu yake mpya aliyoahidi kuiachia mwezi huu, kisa Yanga imepoteza mchezo wake usiku wa jana nchini Sudan dhidi ya Al Hilal. Yanga ilipokea kichapo cha goli 1-0 kutoka kwa Al Hilal na kutupwa nje michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live