Menu ›
Burudani
Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Rayvanny ametangaza kuachia Project yake mpya Five For You ambapo ataachia ngoma 5 ndani ya siku moja ya Novemba 24,2023.
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Rayvanny ametangaza kuachia Project yake mpya Five For You ambapo ataachia ngoma 5 ndani ya siku moja ya Novemba 24,2023. Tarehe hiyohiyo, Staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul 'Harmonize' naye alitangaza kuwa ataachia Album yake ya Visit Bongo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live