Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kim Kardashian na Kanye West wakataa mamilioni ya fedha kufanya hili

1470 Kanye West Off Site TZW

Thu, 18 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Kim Kardashian na mumewe Kanye West wamedaiwa kukataa mamilioni ya fedha kwa ajili ya kuuza picha za kwanza za mtoto wao wa tatu aliyezaliwa Jumanne hii.



Kwa mujibu wa chanzo cha karibu kimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Blog kubwa na majarida mbalimbali yaliomba kupata picha za kwanza za mtoto huyo mwezi mmoja kabla.

Chanzo hiko kimeongeza kuwa, wameambiwa Kim na Kanye hawatafikiria kuchukua pesa kwa picha za kwanza za mtoto huyo kutokana na kufanya hivyo kungevunja maadili yao.

Mtoto huyo anadaiwa kuwa ni wakike. Hapo awali Kim na Kanye walianza kuonyesha picha za watoto wao North na Saint miezi miwili baada ya kuzaliwa.

Chanzo: bongo5.com