Menu ›
Burudani
Thu, 17 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
MWANAMITINDO na mfanyabiashara maarufu duniani, Kim Kardashian ameiomba Mahakama kuharakisha mchakato wa talaka.
Kwa mujibu wa RadarOnline, Mwanasheria wa Kim Kardashian alikuwa mahakamani wiki hii akifuatilia jambo hilo.
Nyaraka zilizo mbele ya mahakama zinaeleza wazi kwamba Kim hataki kupatanishwa na YE au ushauri wowote kuhusu kurudiana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live