Menu ›
Burudani
Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tathmini zinaonyesha kiwango cha uzazi nchini Korea Kaskazini kimekuwa kikishuka kwa muongo mmoja huku kukiwa na ongezeko la wasiwasi ndani ya familia kuhusu "fedha nyingi" zinazohitajika kulea watoto.
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alionekana kufuta machozi alipokuwa akiwataka wanawake kusitisha kushuka kwa kiwango cha kuzaliwa nchini humo.
Bw Kim alionekana akipapasa macho yake kwa leso katika wakati adimu wa hisia alipokuwa akihutubia Mkutano wa Kitaifa wa Akina Mama mjini Pyongyang.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live