Menu ›
Burudani
Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpaka kufikia mwaka 2050 inatajwa kuwa kwenye kila watu wanne basi mmoja atakuwa ni mtu kutokea Afrika "Mwafrika".
Viwango vya kuzaliwa katika mataifa yaliyoendelea inatajwa kuzidi kupungua, huku ukuaji wa watoto katika bara la afrika inazidi kuongezeka kwa kasi zaidi.
Umri wa wastani katika bara la Afrika ni miaka 19 huku nchini India nchini inayoongoza kwa kuwa nawatu wengi zaidi Duniani ni miaka 28, Lakini nchini China na Marekani ni miaka 38.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live