Menu ›
Burudani
Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete na Mkurugenzi wa Wasafi Media, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' wameshiriki katika mazishi ya aliyekuwa mke wa mtangazaji wa Kituo cha Wasafi Media, Gerald Hando.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete na Mkurugenzi wa Wasafi Media, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' wameshiriki katika mazishi ya aliyekuwa mke wa mtangazaji wa Kituo cha Wasafi Media, Gerald Hando. Mazishi hayo yamefanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live