Menu ›
Burudani
Tue, 14 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki, Chidi Benz amesema miongini mwa wasanii ambao hawana tabia za kinafiki Ali Kiba ni mmoja wao.
Akizungumza kupitia Manara TV, Chidi Benz amesema Ali Kiba amekuwa akimuweka vikio mara kwa mara pindi anaposikia Habari mbaya kuhusu yeye.
"Alikiba amekuwa akinichana ukweli pindi ninapokosea au ninapomkosea siyo kama wasanii wengine wanaongea chinichini jamaa amenyooka sana," alisema Chid Benz.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live