Menu ›
Burudani
Fri, 2 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mfalme wa Bongo Fleva, Alikiba ametangaza kusitisha ziara yake ya kimuziki nchini Marekani baada ya kukutwa na maambukizi ya virusi vya corona.
Kiba amesitisha tour yake hiyo iliyokuwa ianze leo Septemba 2, 2022 katika kumbi mbalimbali nchini humo ikiwa ni miaka minne imepita bila msanii huyo kufanya shoo kubwa nchini Marekani.
Kingi amedai kuwa, hakuna cha muhimu kwake kuliko afya ya Bendi, Timu yake na Mashabiki zake; “Ninaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza, Mungu akijalia tutaonana karibuni,” amesema Kiba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live