Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Khaligraph Jones adai kupewa uraia wa Tanzania

Kalig Khaligraph Jones adai kupewa uraia wa Tanzania

Thu, 31 Aug 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Msanii wa Hip Hop kutokea Kenya, Khaligraph Jones amedai kuwa amepatiwa uraia wa Tanzania na sasa vita imeisha.

"Wakenya Wenzangu Nataka kudhihirisha ya kwamba vita na Tanzania imeisha, wameshanipatia Citizenship (uraia), sasa wacheni tuendelee na maisha zetu kwa dharura bila malumbano, mie Wenu Omollo Wassira," amesema Khaligraph Jones.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live