Menu ›
Burudani
Fri, 8 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mama mzazi wa Msanii Zuchu, Bi. Khadija Kopa ametia neno juu ya adhabu aliyopewa mwanaye huko visiwani Zanzibar.
Kopa amesema kuwa hakuna jambo lisilokuwa na mwisho hivyo anaamini kuwa yatapita na maisha yataendelea.
Pia Khadija Kopa amesema kuwa siku chache kabla ya Zuchu kupewa adhabu hiyo alimuonya na baadae ndio ikatokea akapewa adhabu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live